Kenya Broadcasting Corporation
—
Mamlaka ya kudhibiti Kawi nchini (EPRA), imefichua kuwa kampuni iliyohusika katika mlipuko wa gesi eneo la Embakasi Alhamisi usiku, iliendesha shughuli zake bila leseni. Kwa mujibu wa EPRA, kampuni hiyo ilituma maombi ya kupewa kibali cha kujenga kiwanda cha gesi mara tatu, tarehe 19 mwezi Machi, tarehe 20 mwezi Juni na tarehe 31 mwezi Julai, [...]